Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hekima-na-ajabu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hekima-na-ajabu-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

1/31/2019

Maonyesho ya Mungu | "Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu"


Maonyesho ya Mungu | "Yote Yanafanikishwa Kupitia kwa Neno la Mungu"

Mwenyezi Mungu anasema, "Mungu wa siku za mwisho hasa hutumia neno kumfanya mwanadamu kuwa mkamilifu. Hatumii ishara na maajabu kumdhulumu mwanadamu, ama kumshawishi mwanadamu; hii haiweki wazi nguvu za Mungu.