Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumwabudu-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumwabudu-Mungu. Onyesha machapisho yote

12/23/2019

Latest Swahili Praise and Worship Song | "Tuna Bahati Kukutana na Kuja kwa Mungu" | Tenzi ya Rohoni


Latest Swahili Praise and Worship Song | "Tuna Bahati Kukutana na Kuja kwa Mungu" | Tenzi ya Rohoni

Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, twaisikia sauti Yake.
Tuna bahati kukutana na kuja kwa mungu, tunahudhuria sikukuu ya Mwanakondoo.
Tunamjua Mwenyezi Mungu mwenye mwili, tunaona matendo Yake ya ajabu.
Tunaelewa siri ya maisha ya mwanadamu, maneno ya Mwenyezi Mungu ni ya thamani zaidi.
Tunakula na kunywa maneno ya Mungu, na tunaishi mbele Yake,
tusitafute tena huku na kule.
Tunapopitia hukumu ya Mungu, ingawa tunaweza kuteseka, tunatakaswa.
Tunapata ukweli na njia ya uzima wa milele.
Tukitafuta kumpenda Mungu, hatutawahi kujuta.

Maisha haya yamebarikiwa sana, tunakuwa watu wanaompenda Mungu.
Maisha haya yamebarikiwa sana, tunasifiwa na Mungu.
Kutimiza wajibu wetu, kushuhudia kwa Mungu,
na kufuatilia ukweli kuna maana zaidi.
Nani anaweza kuwa na bahati zaidi?
Nani anaweza kubarikiwa zaidi?
Mungu anatupa ukweli na uzima, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.
Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.
Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.
Nani anaweza kuwa na bahati zaidi?
Nani anaweza kubarikiwa zaidi?
Mungu anatupa ukweli na uzima, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.
Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.
Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.
Lazima tuishi kwa ajili ya Mungu, lazima tuishi kwa ajili ya Mungu.
Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.
Tunapata ukweli na tunashuhudia kwa Mungu ili kulipa upendo wa Mungu.

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

3/27/2019

Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tano


Matamshi ya Mungu | “Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II” Sehemu ya Tano


Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Kuhusu Ayubu
Katika Maisha ya Kila Siku ya Ayubu Tunaona Utimilifu, Unyofu, Kumcha Mungu, na Kujiepusha na Maovu Kwake
Maonyesho ya Ubinadamu wa Ayubu Wakati wa Majaribio Yake (Kuelewa Utimilifu wa Ayubu, Unyofu, Kumcha Mungu na Kujiepusha na Maovu Wakati wa Majaribio Yake)
Urazini wa Ayubu
Asili Halisi ya Ayubu: Mkweli, Aliyetakaswa, na Asiye na Uongo
Utenganisho wa Ayubu kati ya Upendo na Chuki
Ukarimu na Uaminifu wa Ayubu
Uhusiano Kati ya Mungu kumpa Shetani Ayubu na Malengo ya Kazi ya Mungu
Kubali Mitihani ya Mungu, Shinda Majaribio ya Shetani, na Mruhusu Mungu Kupata Nafsi Yako Nzima
Onyo na Nuru Iliyotolewa kwa Vizazi vya Baadaye Na Ushuhuda wa Ayubu

5/25/2018

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri


Utambulisho

Mungu aliumba dunia hii. Aliumba binadamu.
Alikuwa mjenzi wa utamaduni wa zamani wa Ugiriki na ustaarabu wa binadamu.
Mungu tu ndiye Anayefariji, Anayefariji binadamu huyu.
Mungu pekee ndiye Anayejali kuhusu binadamu huyu mchana na usiku.

3/19/2018

Jinsi ya Kufahamu Tabia Yenye Haki ya Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Jinsi ya Kufahamu Tabia Yenye Haki ya Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Watu wanaweza kupangwa kwa makundi, ambayo hubainishwa kwa roho zao. Watu wengine wana roho za binadamu, na wao huchaguliwa kwa njia iliyoamuliwa kabla. Ndani ya roho ya binadamu kuna sehemu iliyoamuliwa kabla. Watu wengine hawana roho; wao ni pepo ambao wamepenyeza.