Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Video-za-Kupitia-Mateso. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Video-za-Kupitia-Mateso. Onyesha machapisho yote

5/05/2018

"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?



"Imani katika Mungu" (1) - Je, Utiifu kwa Wale Walio Madarakani Kweli ni Sawa na Utiifu kwa Mungu?



Utambulisho

Katika Biblia, Paulo alisema, "Acha kila nafsi itii mamlaka ya juu zaidi. Kwani hakuna mamlaka isipokuwa ya Mungu: mamlaka yaliyoko yameamriwa na Mungu. Yeyote yule anayepinga nguvu, anapinga amri ya Mungu: na yule anayepinga atapokea laana” (Warumi 13:1-2). Sisi waumini tunapaswa kuwatendea vipi wale walio madarakani? Je, utiifu kwa wale walio madarakani ni sawa na utiifu kwa Mungu kweli?

4/24/2018

Swahili Christian Video | Nyendo za Mateso ya Kidini "Kuficha Uhalifu"

Swahili Christian Video | Nyendo za Mateso ya Kidini "Kuficha Uhalifu"

Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

10/30/2017

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Ukuzaji)

 


NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: KUFICHA UHALIFU (Ukuzaji)

   Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini.

10/21/2017

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: SAA YA GIZA KABLA YA MAPAMBAZUKO (Ukuzaji) | Kanisa la Mwenyezi Mungu

 

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA: SAA YA GIZA KABLA YA MAPAMBAZUKO (Ukuzaji) | KANISA LA MWENYEZI MUNGU



Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini.

9/20/2017

NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA | Kanisa la Mwenyezi Mungu



NYENDO ZA MATESO YA KIDINI NCHINI CHINA | Kanisa la Mwenyezi Mungu


Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.