Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mshindi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mshindi. Onyesha machapisho yote

1/14/2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 12

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 12


Ikiwa una tabia ambayo si thabiti, nyepesi kuhamaki kama upepo au mvua, kama huwezi kuendelea kusonga mbele, basi fimbo Yangu haitakuwa mbali na wewe. Unaposhughulikiwa, kadiri hali ilivyo mbaya zaidi, na kadiri unavyoteswa zaidi, ndivyo upendo wako kwa Mungu unavyoongezeka, na unaacha kushikilia dunia. Bila njia nyingine, unakuja Kwangu, na unapata tena nguvu na imani yako. Ilhali, katika hali rahisi, ungeboronga. Ni lazima uingie ndani kwa mtazamo chanya, uwe mwenye vitendo na si baridi.