Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-kimbilio. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mungu-ni-kimbilio. Onyesha machapisho yote

2/03/2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 18

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 18

Kujenga kanisa si kitu rahisi cha kufanya! Niliweka moyo Wangu wote katika kulijenga na Shetani angefanya kila kitu ingeweza kuibomoa. Kama unataka kujengwa lazima uwe na maono; lazima uishi maisha kwa Mimi, kuwa shahidi wa Kristo, shikilia Kristo juu kwa juu, na kuwa mwaminifu Kwangu. Hupaswi kutoa visingizio, lakini badala yake kutii bila ya sharti; lazima uvumilie majaribu yoyote, na kukubali yote yanayotoka kwa Mimi.