Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwana-wa-Adamu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwana-wa-Adamu. Onyesha machapisho yote

2/01/2019

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 16

Matamshi ya Mwenyezi Mungu|Sura ya 16


Baada ya ushuhudiaji wa Mwana wa Adamu, Mwenyezi Mungu alijifichua kwetu hadharani kama Jua la haki. Haya ndiyo mabadiliko mlimani! Sasa inakuwa halisi zaidi na zaidi, na zaidi kuwa jambo la uhalisi. Tumeona utaratibu wa kazi ya Roho Mtakatifu, Mungu Mwenyewe ameibuka kutoka kwa mwili wa damu.

12/28/2018

"Nimewahi Treni ya Mwisho" (2) : Kurudi kwa Bwana katika Mwili Kunatimiza Unabii wa Biblia


"Nimewahi Treni ya Mwisho" (2) : Kurudi kwa Bwana katika Mwili Kunatimiza Unabii wa Biblia


    Kwa maana Bwana atarudi katika zile siku za mwisho, Bwana Yesu akasema, “Na ninyi pia muwe tayari: maana katika saa kama hii msiyofikiria kuwa Mwana wa Adamu atakuja” (Luka 12:40)."Kwani kama umeme, unavyomulika chini ya mbingu kutoka sehemu moja, huangaza hadi sehemu nyingine chini ya mbingu; vivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakuwa katika siku yake. Bali kwanza lazima apitie mambo mengi, na akataliwe na kizazi hiki” (Luka 17: 24-25).