Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwokozi-Yesu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwokozi-Yesu. Onyesha machapisho yote

12/08/2018

Neno la Mwenyezi Mungu|Asili na Utambulisho wa Mwanadamu

Neno la Mwenyezi Mungu|Asili na Utambulisho wa Mwanadamu


Kwa kweli, hawajasikitika, na wamekuwa wakitazama kile ambacho kimefanywa kwa miaka elfu sita iliyopita mpaka leo, kwa kuwa Sikuwaacha. Badala yake, kwa sababu mababu zao walikula tunda kutoka kwa mti wa ujuzi wa mema na maovu lililotolewa na yule mwovu, waliniacha kwa ajili ya dhambi. Mema ni Yangu, wakati maovu ni ya yule mwovu ambaye hunihadaa kwa ajili ya dhambi. Mimi Siwalaumu mwanadamu, wala Siwaangamizi kwa ukatili au kuwatolea kuadibu kusiko na huruma, kwani uovu haukuwa wa wanadamu kiasili.

11/05/2017

Unajua Nini Kuhusu Imani? | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Unajua Nini Kuhusu Imani? | Kanisa la Mwenyezi Mungu

Ndani ya binadamu, kunalo neno lisilokuwa la uhakika, ilhali binadamu hajui imani inajumuisha nini, na vilevile hajui ni kwa nini anayo imani. Binadamu huelewa kidogo sana, na binadamumwenyewe amepungukiwa sana; yeye anakuwa tu na imani ndani Yangu bila kujali na bila kujua.