Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Neno-Laonekana-katika- Mwili. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Neno-Laonekana-katika- Mwili. Onyesha machapisho yote

12/11/2018

Neno la Mwenyezi Mungu|Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo

Neno la Mwenyezi Mungu|Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo


Wale miongoni mwa ndugu na dada ambao daima hueneza ubaya wao ni vibaraka wa Shetani na hulivuruga kanisa. Watu hawa lazima siku moja wafukuzwe na kuondolewa. Katika Imani yao kwa Mungu, ikiwa watu hawana moyo wa kumcha Mungu ndani yao, ikiwa hawana moyo ambao ni mtiifu kwa Mungu, basi hawatashindwa tu kufanya kazi yoyote ya Mungu, lakini kinyume na hayo watakuwa watu wanaovuruga kazi ya Mungu na wanaomuasi Mungu.