Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Sheria. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Sheria. Onyesha machapisho yote

10/29/2017

Kuhusu Biblia (4)


Mwenyezi Mungu, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

Kuhusu Biblia (4)


Watu wengi wanaamini kwamba kuelewa na kuwa na uwezo wa kufasiri Biblia ni sawa na kutafuta njia ya kweli—lakini, kimsingi, je, vitu ni rahisi sana? Hakuna anayejua uhalisia wa Biblia: kwamba si kitu chochote zaidi ya rekodi ya kihistoria ya kazi ya Mungu, na agano la hatua mbili zilizopita za kazi ya Mungu, na haikupatii ufahamu wa malengo ya kazi ya Mungu.