Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Usimamizi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Usimamizi. Onyesha machapisho yote

9/28/2017

Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu | Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu | Mwenyezi Mungu


     Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu ni kazi ya Mungu pekee, shughuli za Mungu, na hivyo wanadamu hawajali kuhusu usimamizi wa Mungu. Kwa njia hii, kuokolewa kwa wanadamu kumekuwa kusiko yakini na kusiko dhahiri, na kumebaki tu maneno matupu.