Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo binadamu-ya-kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo binadamu-ya-kristo. Onyesha machapisho yote

1/10/2019

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Sura ya 10

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

Matamshi na Ushuhuda wa Kristo Mwanzoni | Sura ya 10

Haupaswi kuwa na hofu ya hili na lile. Haidhuru wingi wa matatizo na hatari unazokabili, utabaki thabiti mbele Yangu; usizuiliwe na kitu chochote, ili mapenzi Yangu yaweze kufanyika. Huu utakuwa ni wajibu wako, vinginevyo utakabiliana na ghadhabu Yangu na mkono wangu uta..., na utavumilia mateso ya akili yasio na mwisho. Ni lazima uyavumilie yote, lazima uviachilie vitu vyote ulivyo navyo, na kufanya kila kitu unachoweza kunifuata Mimi, kulipa gharama zote kwa ajili Yangu.