Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu.. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo hukumu.. Onyesha machapisho yote

2/17/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu|Umuhimu wa Kuukoa Uzao wa Moabu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,  Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi MunguUmuhimu wa Kuukoa Uzao wa Moabu

Katika miaka hii miwili hadi mitatu ya kazi, kile kilichopaswa kutimizwa katika kazi ya hukumu iliyofanyika juu yenu kimetimizwa kimsingi. Watu wengi wamesahau matarajio na kudura yao ya baadaye. Hata hivyo, inapotajwa kuwa ninyi ni uzao wa Moabu, wengi wenu huchukizwa sana—nyuso zenu hubadilika, vinywa vyenu hupinda, na macho yenu hukodolea.