Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo uhusiano-wa-kawaida-na-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo uhusiano-wa-kawaida-na-Mungu. Onyesha machapisho yote

2/16/2018

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Ni Muhimu Sana Kuanzisha Uhusiano wa Kufaa na Mungu

Mwenyezi Mungu alisema, Watu wanaamini katika Mungu, wanampenda Mungu, na kumkidhi Mungu kwa kugusa Roho wa Mungu kwa moyo wao, hivyo kupata ridhaa ya Mungu; na wakati wanajihusisha na maneno ya Mungu kwa moyo wao, kwa hivyo wanasisimuliwa na Roho wa Mungu. Ikiwa unataka kufikia maisha ya kawaida ya kiroho na kuanzisha uhusiano wa kawaida na Mungu, lazima kwanza uutoe moyo wako kwa Mungu, na uuweke moyo wako uwe mtulivu mbele za Mungu. Baada tu ya kuutoa moyo wako mzima katika Mungu ndipo utaweza kuwa na maisha ya kawaida ya kiroho hatua kwa hatua.