7/22/2018

5 Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu

Smiley face



Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu


Utambulisho

I
Sasa kwa kushangilia sana, utakatifu wa Mungu na haki vinakua ulimwenguni kote, ikitukuka sana kati ya wanadamu wote. Miji ya mbinguni inacheka, falme za dunia zinacheza. Ni nani asiyesherehekea? Ni nani asiyetoa machozi? Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde; hawaliabishi jina la Mungu, wakiishi katika mwanga wa Mungu, wakiwa na amani na kila mmoja.
II
Dunia ni ya mbingu, mbingu inaungana na dunia. Mwanadamu ndiye ukamba unaounganisha mbingu na dunia. Kwa sababu ya utakatifu wa mwanadamu, kwa sababu ya upya wake, mbingu haijifichi kutoka kwa dunia tena, dunia haiinyamazii mbingu tena. Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde; hawaliabishi jina la Mungu, wakiishi katika mwanga wa Mungu, wakiwa na amani na kila mmoja. Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde; hawaliabishi jina la Mungu, wakiishi katika mwanga wa Mungu, wakiwa na amani na kila mmoja.
III
Hewa ni changamfu, ukungu mzito umetoweka, jua linaangaza kotekote. Hewa ni changamfu, ukungu mzito umetoweka, jua linaangaza kotekote. Hewa ni changamfu, ukungu mzito umetoweka, jua linaangaza kotekote. Hewa ni changamfu, ukungu mzito umetoweka, jua linaangaza kotekote. Nyuso za ubinadamu zimezingirwa na tabasamu. Ukiwa umejificha mioyoni mwao, utamu unaenda kwa mwendo mrefu. Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde; hawaliabishi jina la Mungu, wakiishi katika mwanga wa Mungu, wakiwa na amani na kila mmoja. Wanadamu hawagombani wala kupigana makonde; hawaliabishi jina la Mungu, wakiishi katika mwanga wa Mungu, wakiwa na amani na kila mmoja, wakiwa na amani na kila mmoja, wakiwa na amani na kila mmoja.
kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili


Yaliyopendekezwa: Kuhusu Umeme wa Mashariki, Kujua Kanisa la Mwenyezi Mungu, Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni