Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Neno-la-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Neno-la-Mungu. Onyesha machapisho yote

8/03/2018

Upendo Safi Bila Dosari




Upendo Safi Bila Dosari

Utambulisho

  I
Upendo ni hisia safi, safi bila dosari. Tumia moyo, tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza. Upendo hauna masharti, vizuizi au kujitenga. Tumia moyo, Tumia moyo, kupenda, kuhisi, kutunza.

7/30/2018

Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote





Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote

Utambulisho

I
Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia, unaanza kutenda wajibu wako. Katika mpango na utaratibuwa Mungu, unachukua nafasi yako, na unaanza safari ya maisha. Vyovyote vilivyo msingi wako ama safari iliyo mbele yako, hakuna anayeweza kuepuka utaratibu na mpango ambao Mbingu imeweka, na hakuna aliye na amri juu ya hatima yake, kwani ni Yule tu anayetawala juu ya vitu vyote ndiye ana uwezo wa kazi kama hii.

7/22/2018

5 Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu

Smiley face



Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu


Utambulisho

I
Sasa kwa kushangilia sana, utakatifu wa Mungu na haki vinakua ulimwenguni kote, ikitukuka sana kati ya wanadamu wote. Miji ya mbinguni inacheka, falme za dunia zinacheza.

7/07/2018

Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

Smiley face



Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa


Utambulisho

I
Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu, Amekuwa akifichua kwao Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati. Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa, Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiini.

5/06/2018

Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu
Nyimbo ya Msifuni Mwenyezi Mungu


Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?



Utambulisho

Wimbo wa Maneno ya Mungu
I
Mwili wa Mungu utajumlisha kiini cha Mungu na maonyesho Yake. Atakapofanywa mwili, Ataleta matunda ya kazi Aliyopewa ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote, awape uhai na awaonyeshe njia. Mwili wowote usiokuwa na dutu Yake sio Mwili wa Mungu.

3/06/2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Zingatia Majaliwa ya Binadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Zingatia Majaliwa ya Binadamu


Zingatia Majaliwa ya Binadamu
Mungu awahimiza makabila yote, mataifa na nyanja zote:
Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake;
mzingatie hatima ya wanadamu;
mfanye Mungu Mtakatifu na Mheshimiwa, Mkuu na wa pekee wakuabudiwa,
ulimwengu wote, na wanadamu, waishi chini ya baraka Yake Mungu,
kama vizazi vya Ibrahimu, walivyoishi na ahadi ya Yehova,
kama viumbe vya Mungu, Adamu na Hawa, walivyoishi bustani Edeni.